Akiongea leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA aliyekuwa wa
tatu kati ya wasanii waliopata fedha nyingi zaidi kwenye malipo hayo
chini ya Rose Mhando na Diamond, amesema ameamua kuweka wazi hilo ili
watu waondoe imani kuwa muziki wa hip hop hauuzi.
Tarehe 31 mwezi huu, Mwana FA ambaye jina lake halisi ni Hamis Mwinjuma atakuwa na show yake aliyoipa jina, The Finest.
MWANA FA AVUNA MILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU KWENYE RINGBACK TONE
Posted by Unknown
Posted on 1:00 PM
with No comments
0 comments:
Post a Comment